Sunday, December 23, 2012

NICHUMU NIKISSY MWAAAAAAH!!!

 IN MY HOTEL ROOM GETTIN READY FOR THE SHOW OR THE PERFOMANCE..,
 BONGE LA NYAU,NURU AND BOB JUNIOR..,






 MAKOMANDO A.K.A KIBEGA..,
 MSAMI WITH MAKOMANDO..,

4 comments:

  1. hi there nasikia bob junior ndio anakula mzigo sikuiz ,habari ziko kote sasa,kweli wabongo hakuna siri,duh

    ReplyDelete


  2. hahahha hata baba yako anakula mzigo pia,,kila siku nawaambieni kama hamna cha kucoment kaeni kimyaaaaa tuuu maana hamnaga jipya kumbe we umeskia leo wakati hizi habari zilitoka zamani n the funny thing is bob junior kama ulikuwa hujuwi basi kaowa na atakuwa baba soon,,eat that!!!
    tatizo umbeya umewazidi so hata stori za uwongo mnanunua tuu!!
    NA BADOO MTASKIA MENGI TUU WAKATI WATU SS TUNAFANYA YETU,KARIBU TENA

    ReplyDelete
  3. HAHAHAAA
    Nuru nimekupenda zaidi maana mdau hapo juu umempa ile kitu anastahili pewa mumbeyaaaaaaa
    hahahahaaa
    Happy new iyaa Nuru.

    ReplyDelete
  4. Ahsante na ww pia kheri ya mwaka Mpya,,,

    ReplyDelete