HIVI KWANINI WANAWAKE IMEFIKIA POINT TUNAJITHAMINI ACCORDING TU UKUBWA WA MAKALIO YETU AU MAUMBILE YETU,,INAKUWAJE MWANAMKE UKIMWAMBIA LABDA HEE MBONA HUYU MATAKO MAKBWA HIVI ANAKUJIBU UNATAKA NISIPATE DILI AU,,,KWA MAANA WASIO NA MATAKO HAWANA MAENDELEO,,KWANINI WANAWAKE IN 2012 BADO TUNAJIVALUE BECAUSE OF THE SIZE OF OUR MAKALIO,,,NIMEONA MPAKA WATU WANATUMIA MADAWA KUKUZA MAKALIO WAKATI WANAJUA KUNA MADHARA,,KWANINI LAKINI TUNAFANYA HIVI WAKATI DUNIA YA LEO MWANAMKE UNA THE SAME OPPORTUNITIES KAMA MWANAUME YA KWENDA KUSOMA,KUWEZA FANYA KAZI NA VINGINEVYO PIA,,YOUR THOUGHTS MDAU
he he he he he kazi ipo dah!!! huuo upuuuzi umebaki kwenye jamii ya kibongo tu ulimwenguni.samahani wanawake wakibongo mbumbu saana. samahani aiseee
ReplyDeletemmmmh! nikotojiamina i think....ur face,ur ASS ,UR SHAPE ITS NATING IF U DONT WEAR THE BEST DRESS CONFIDENCE......
ReplyDeleteNuru nguo zinakaa vizuri dada kwa mwenye kijitako chake, ukiwa pasi nyuma hata nguo hazinogi bwana. Mi nina tako la kukalia tuu natamani lingekuwa kubwa kidogo kama lako angalao......
ReplyDeleteNimefundishwa na mdada mmoja wa kihaya jinsi ya kutengeneza tako naturally la mtoto wa kike akiwa mchanga basi ndo kazi nawafanyia wanangu. ha ha ha ha.
Hiyo ni kwa "Africans" tu ndo wanathamini big butt! Na huo ni ukosefu wa fikra, mie sijali kuwa na tako kubwa sio dili kwa nchi za waliondelea. Najua wengi wanadharau watu wasio na matako (wembamba) eti sio dili nani kasema...mngejua watu wenye matako kwenye nchi za magharibi hawana dili...
ReplyDeleteEti hawapendezi..wewe nani kasema atokee hapo mtu mwenye mtako na mwembamba wavae the same clothes uone nani atatoka bomba!!!
Hahaa wanawake tuna mambo, me nahangaika kupunguza inye ili jeans ikae vizuri wakati wengine wanayaongeza. Ushamba nao unachangia.
ReplyDeletemnasema wanawake wa kibongo tu hata nchi zilizoendelea wanayafanya hayo,tena wao kuanzia uso mpaka kwa bibi wanakubadilisha au nadanganya?
ReplyDeleteMie namshukuru mola kwa alichonijaalia japo ninalo na angeninyima pia ni mapenzi yake . Lakini wale walonyimwa wakiwa wembamba si mbaya ila wakinenepa mama hata avae diraa aende na fashion hayuko kwenye kund.kwani anyimwae tako huwa ananenepa ka wale wajapani (SAMORAI) wanaopigana mieleka huwa tumbo nk
ReplyDeleteKitako cha kiushkaji muhimu tusidanganyane hapa....kwa nini kim k, jlo, amber, beyonce wako juu vishep vile vinawadatisha watu.
ReplyDeleteYAANI COMMENT YA WASAMURAI IMENIUWAAAA KWA KUCHEKA HAHAHAAHAHAH HAHAHAHAHAH AHSANTE MDAU..,MAANA NILIVYOISOMA TU NIKAWAKUMBUKA YAANI NIMECHEKA MPAKA NIKATOA MACHOZI..,UWIIIII
ReplyDeletenuru mwaya, mwanamke kiasili tumeumbwa kuwa na curves kidogo,ulimwengu mzima bila kujali kabila wala rangi,wanapenda mwanamke aliyekaa vizuri, hasa vimatako vulani hivi(kusema ukweli inampa mwanamke shepu nzuri) na kihipsi fulani hivi na nyonyo hivi,sa ukiwa flat kabisa tuseme ukweli haivutii watu wengi,ingawa nafasi yako ya kupata wanaume,fedha,kazi na mambo mengine katika jamii iko pale pale,ila kiukweli unakuwa huna ile shepu ya kuvutia watu wengi(angalia picha za magazeti ya urembo wanawake wanavyojibinua ili vimatako vionekane).kwa waafrika wengi tunapenda sana matako makubwa thinking it is sexy,sio ushamba, wala sio ujinga,ni mtizamo na utaendelea kuwepo kwa muda mrefu ujao. sasa tunakuja kwa wale wanaofikiria hayo ndio kila kitu, hao ndio wanajishusha thamani, kwa sababu sio matako tuu ndiyo yatakuletea furaha,amani pesa, mapenzi au heshima maishani. ukiwa nayo makubwa na unayapenda basi vizuri sana ,ukiwa nayo na huyapendi kama mimi jitahidi kufanya mazoezi,usiye kuwa nayo usitafute kwa nguvu.
ReplyDeleteasante