Thursday, April 19, 2012

STAGE TIME ON THE SPORAH SHOW!!!


NICHUM..,



AS SOON AS I GOT SWEATY OR NEEDED A HAND SHE WAS RIGHT THERE TO SAVE THE DAY!!



SHOMBE SHOMBE BABYYYYYYYYYYY!!!

17 comments:

  1. Umeng'aaaa ,kweli the light !i like black shoes !

    ReplyDelete
  2. nuru light unapenda sana kuruka ruka, umependeza sana bigup

    ReplyDelete
  3. Baby gurl,ur breathe taking aisee u look exquiste n me loving that short sleeved coat u wearing details plz!!!
    Simply beautiful!

    ReplyDelete
  4. umependeza sana shost. ila lipstick jaribu kubadilisha angalia ya Sporah .unapaka nyekundu sana na kila mara rangi hiyo hiyo na wewe mashaalwah .mdomo mzur wa kizanzibar.lakini umependeza kabisa mwaaah

    ReplyDelete
  5. lini kitakuwa kwenye tv interview yako?uk? Asante

    ReplyDelete
  6. Ilike your Black outfit, your look very funne. By the way what is your star. I mean when is your Birthday? I kind of like you

    ReplyDelete
  7. MY BIRTHDAY IS JUNE 22ND SO AM A CANCER...,

    INGIA WWW.SPORAHSHOW.COM ALL THE DETAILS ARE THERE PLUS THEIR FACEBOOK PAGE ABOUT MY SHOW N WHEN IT AIRS..,

    LIPSTICK SIYO KILA SIKU HIYOHIYO NINA DIFFERENT SHADES OF RED..,

    YA KURUKA RUKA NDIO MY STYLE MWAYA NA KILA KITU KWA MDA WAKE,WAKATI WA KUWA SERIOUS AM SERIOUS NA WAKATI WA FUN ITS FUN,,AHSANTENI WOTEEEE

    ReplyDelete
  8. we mzuri tu,tishaaaaa

    ReplyDelete
  9. o my god u looked dashiiiiing!!....am just loving your smiles..

    ReplyDelete
  10. Star tv kinaonyeswa lini

    ReplyDelete
  11. Kweli Kila Mtu na kazi yake sijawahi kukuona umependeza na makeup Kama ivyo .... Ilove da makeup umependeza Sanaa ni brand gani ya makeup pls !!!

    ReplyDelete
  12. Jamani dada fanya fanya basi utuletee mtoto atakuwaje mzuri kama mama yake? shombe shombe babby,,,

    ReplyDelete
  13. nawapendeni wooooote, my tz role models of all the time
    Sporah napenda sana mavazi yako
    Kiatu CL mtoto wakichaga lol
    CL na Uchagani wapi na wapi - Joking
    I Love you and respect you Sporah so much, Can't wait to watch this one.

    ReplyDelete
  14. Always makeup....inaonekana hata ukilala wewe makeup tu, lol bila makeup hiyo sura si utakuwa unatisha my friend....hahahaaa NILIKUWA NAPITA TU

    ReplyDelete
  15. HAHAHAH COMMENT YA MWISHO UMENIUWAA UNAJUA MTU AKIHATE ANAKUWA KAMA VILE KIPOFU HAONI KITU BALI CHUKI MAANA MAPICHA YOOOTE YALIYO HUMU WAKATI SINA MAKE UP HUJAYAONA AHSANTEEE NA ENDELEA HIVYOHIVYO KUPITA HUKU WAKATI MM NATENGENEZA FUTURE YANGU!!

    AHSANTENI WOTEEEEEEEEEE KWA MANENO YENU WADAU NASHKURU SANA NA MAKE UP WAS MAC AND LANCOME!!

    ReplyDelete
  16. U rock gal! achana na haters! mi wivu tu wamekalia, hawawezi kuwa kama wewe hata siku moja. wanywe povu la omo kama vipi.

    ReplyDelete
  17. Lovely to see Aunty Jesicca, she still has her swag, very Lovely woman.. Take good care of her Ms. Nuru.

    ReplyDelete