sometyms kabla hamjasoma kichwa kimeandikwa nn naomba muwe mnafikiria kabla ya kucomet,,waislamu wangapi wanafanya akhdi n then ndo reception inafanywa ss sauda kaiga nini cha ajabu au kipya ulokiona ww,,picha za akhdi zipo hazijawekwa but even if ni siku kaingia holini n thats it..,
Kwanza alomwambia lazima kuvaa nguo ya kijani nani? Au ndo kukremu? Uislamu ni kujihifadhi, haijalishi nguo ni ya rangi gani. Na Sauda sio wa kwanza kuvaa hivi!
hongereni sana...
ReplyDeleteWaislam navojua wanavaaga nguo ya kijan, sasa hii ni kuiga jamani. Hongereni though
ReplyDeletesometyms kabla hamjasoma kichwa kimeandikwa nn naomba muwe mnafikiria kabla ya kucomet,,waislamu wangapi wanafanya akhdi n then ndo reception inafanywa ss sauda kaiga nini cha ajabu au kipya ulokiona ww,,picha za akhdi zipo hazijawekwa but even if ni siku kaingia holini n thats it..,
ReplyDeleteHongera sana Sauda. Inshallah ndoa yenu idumu. Though i ddn like tha dress...and that Tiara up thea..OMG..it looks local!
ReplyDeleteKwanza alomwambia lazima kuvaa nguo ya kijani nani? Au ndo kukremu? Uislamu ni kujihifadhi, haijalishi nguo ni ya rangi gani. Na Sauda sio wa kwanza kuvaa hivi!
ReplyDelete