FELLOW ACTORS.., WHEN HIS MOM ARRIVED AT THE CEMETARY.., THE HARDEST THING ON EARTH FOR A PARENT IS SAYING GOODBYE TO YOUR CHILD!! KWAHERI KAKA YANGU.., LALA SALAMA..,
mie nashinda elewa inamaana walifunua jeneza kwenye jua kali kiasi kile? kwanini wasingemuweka kivulini au macho yangu nakosea naona kama walimzunguka sana jamani why ? si wangepeana nafasi taratibu hata mama mtu mke wa raisi full kubanana jamani bongo hiii hatari.
mie nashinda elewa inamaana walifunua jeneza kwenye jua kali kiasi kile? kwanini wasingemuweka kivulini au macho yangu nakosea naona kama walimzunguka sana jamani why ? si wangepeana nafasi taratibu hata mama mtu mke wa raisi full kubanana jamani bongo hiii hatari.
ReplyDelete