Wednesday, April 11, 2012

BIBI MCHAWI KATIKA MSIBA WA KANUMBA,MY GODDNESS!!

Wakati wa Tanzania wakiwa kwenye majonzi na maelfu kuhudhuria msibani.Habari zilizotufikia ambazo hazijathibitishwa ni kwamba kuna Bibi mchawi kadondoka na ungo kwenye msiba.Katika mahojiano na bibi huyo akakiri katokea Mwanza.Teentz tutazidi kukuhabarisha

YAANI KATIKA KITU KILICHONISIKITISHA NI HIKI,,,WHAT IS THIS JAMANI,ASHINDWE ALEGEEEEE!!!

SORCE:TEENTZ

2 comments:

  1. Mnawasingizia tu wazawa wa Mwanza, Shenzi type zenu, Mshindwe na Mlegee huyo atakuwa alitokea sumbawanga Sonyooooooooooo

    ReplyDelete
  2. Mnawasingizia tu wazawa wa Mwanza, Shenzi type zenu, Mshindwe na Mlegee huyo atakuwa alitokea sumbawanga Sonyooooooooooo

    ReplyDelete