umenichekesha ulivyosea watuwanao clean kazini kwenu,kwanini hutaje kazi yao?mbona hao wengi hukusema wanafanya nini???au wewe kazi yako ni nini secretary or etc yaani picha umetoa kazi unaficha kusema kweli wabongo hata tukae ulaya miaka mingapi tunakitabia ambacho nicha ajabu sana,duuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. lakini umependeza sana nakatika blog zote ninazozijua wewe ulikuwa kwenye my top list lakini naona sasa hivi umeanza kubadilika please dont change Nuru,mtu akiuliza swali jibu,just say mimi ni accountant lakini iam sorry mdau siwezi kusema company gani nafanya kazi or no comment mdau i hope i dont hurt ur feeling.huu ni ushauri tu toka kwangu.,
Haswaaaaaaaaaaa katafute umbea kwingine, ila on the other side nimependa ushauri wako kuwa angesema no comment or something like that, but i support her kutosema kazi yake na mahali anapofanyia cause i knw wabongo kwa mabango na dirty comments
Umependeza my dear
ReplyDeleteahsante dear,,
ReplyDeleteumenichekesha ulivyosea watuwanao clean kazini kwenu,kwanini hutaje kazi yao?mbona hao wengi hukusema wanafanya nini???au wewe kazi yako ni nini secretary or etc yaani picha umetoa kazi unaficha kusema kweli wabongo hata tukae ulaya miaka mingapi tunakitabia ambacho nicha ajabu sana,duuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
ReplyDeletelakini umependeza sana nakatika blog zote ninazozijua wewe ulikuwa kwenye my top list lakini naona sasa hivi umeanza kubadilika please dont change Nuru,mtu akiuliza swali jibu,just say mimi ni accountant lakini iam sorry mdau siwezi kusema company gani nafanya kazi or no comment mdau i hope i dont hurt ur feeling.huu ni ushauri tu toka kwangu.,
Unaonekana wewe ni mtundu sana :)
ReplyDeleteUkisifiwa ndio unajibu but mtu akikuambia ukweli unajibu.Kubali kosolewa pia...not everything ni positive kwako:(
ReplyDeleteMama Lee.
Nyooooko! hii sio blog ya umbea katafute umbea kwingine bibiee :-)
ReplyDeleteHaswaaaaaaaaaaa katafute umbea kwingine, ila on the other side nimependa ushauri wako kuwa angesema no comment or something like that, but i support her kutosema kazi yake na mahali anapofanyia cause i knw wabongo kwa mabango na dirty comments
ReplyDeleteMdau
lakini kama vile asivyopenda kutaja kazi yake pia vile vile asingetaja kuwa hao ni cleaners ofisini kwao mkuki kwa nguruwe...
ReplyDelete