No offence to ur friend rehema kibinju, ni ushauri tu, najua ye ni fashionista na anatembea sana nje ya nchi atakuwa mjanja, mwambie ajaribu kubadili make up! Hiyo poda anayopaka sio color yake inamfanya anakuwa wa kijivu san a! ni ushauri tu, narudia tena ni ushauri tu. Idara nyingine zote namkubali kuanzia pamba kuja viatu kumalizia nywele hakoseagi!
mama Kibunju, nimependa lol.
ReplyDeleteNo offence to ur friend rehema kibinju, ni ushauri tu, najua ye ni fashionista na anatembea sana nje ya nchi atakuwa mjanja, mwambie ajaribu kubadili make up! Hiyo poda anayopaka sio color yake inamfanya anakuwa wa kijivu san a! ni ushauri tu, narudia tena ni ushauri tu. Idara nyingine zote namkubali kuanzia pamba kuja viatu kumalizia nywele hakoseagi!
ReplyDeletelove all the look.
ReplyDeleteMDAU UJUMBE UMEFIKA KWA REHEMA..,
ReplyDeleteNA DISMINDER SHUKRAN LOVE..,