Nimeona unasubiri huyo kijana akukatie SAMAKI, ni wapi Nuru kuna samaKi fresh??? au mlifanya kuvua samaki wenyewe??
Nimechoka kula LAX, hapo kwenye picha inaonyesha samaki ni kama wa nyumbani. Nipe habari au nielekeze Duka, mimi sio mwenyeji sana....zaidi najua TAJ MAHAL affär tu!
he he its only today see you posted about food,hope you enjoyed the food,mmmh look delicious.
ReplyDeleteiv posted about food but not so much..,huu mchemsho ulikuwa on anotha level very good na very delicious..,
ReplyDeleteni Tanzania hapo au ?
ReplyDeleteNimeona unasubiri huyo kijana akukatie SAMAKI, ni wapi Nuru kuna samaKi fresh??? au mlifanya kuvua samaki wenyewe??
ReplyDeleteNimechoka kula LAX, hapo kwenye picha inaonyesha samaki ni kama wa nyumbani. Nipe habari au nielekeze Duka, mimi sio mwenyeji sana....zaidi najua TAJ MAHAL affär tu!
Nisaidie...