Beautiful, BUT... kitumbo hicho bibi!! mambo tayari nini? kama hakuna kiumbe hapo hit the gym mamaa, ni noma, sijui ulikula kaugali kwanza? honestly figure bomba ni katumbo hako.
umependeza sana na hongera kwa kuuangalia vizuri mwili wako, ila angalia kuna magazeti hapa ni washenzi hukawii kuzuliwa umepiga picha za utupu, while u had good intentions!
huyo anony aloandika katumbo hivi una macho mazuri au tukupe miwani..,hilo nalo tumbo la kuht the gym au hujaona wenye matumbo.,.,dada kula kwa raha yako!
Jamani dada Nuru nimekuomba uniambie wapi hiyo sehemu ya swimming pool umenibania kunipa jibu. Naelewa nakusumbua na huna muda wa kujibu anyway vocation njema.
una beautiful body,,,,,,, sexyy ile mbaya. Ilove dat body. Ushapata mchumba
ReplyDeleteluking hot...the light...
ReplyDeleteBeautiful, BUT... kitumbo hicho bibi!! mambo tayari nini? kama hakuna kiumbe hapo hit the gym mamaa, ni noma, sijui ulikula kaugali kwanza? honestly figure bomba ni katumbo hako.
ReplyDeleteumependeza sana na hongera kwa kuuangalia vizuri mwili wako, ila angalia kuna magazeti hapa ni washenzi hukawii kuzuliwa umepiga picha za utupu, while u had good intentions!
ReplyDeleteSaaaafi nije kuku massage?
ReplyDeletemhmn mtaamuu
ReplyDeleteheheheheheh jamani Mnatuuwa wenzenu wenye manyamanyama mhhh
ReplyDeleteUku ni bongo kuzuri hivyo au ni sweden? umependeza sana the ligtht...
ReplyDeletelikizo iko poa sana ni wapi jamani nami nije kutembea na mtoto wangu?
Bernad:)
Mashallah..mtoto umeumbika.
ReplyDeletehuyo anony aloandika katumbo hivi una macho mazuri au tukupe miwani..,hilo nalo tumbo la kuht the gym au hujaona wenye matumbo.,.,dada kula kwa raha yako!
ReplyDeleteahsanteni wote jameni na sheria my bro thank u love..,
ReplyDeletejag äskal dig, holla me, jag bor i stockholm
ReplyDeleteJamani dada Nuru nimekuomba uniambie wapi hiyo sehemu ya swimming pool umenibania kunipa jibu. Naelewa nakusumbua na huna muda wa kujibu anyway vocation njema.
ReplyDelete