Sporah jamani sasaivi nimewasha tu TV nimekutana na advet yako kwenye Star Tv, ninzuri sana. Mi mates wako tulisoma wote Kampala.Mtoto we naviatu.. Mh Naona Ujaacha tu mambo yako ya Viatu, I can Imagine huko london. Mwaya Hongera zako na tunakusapot sana.
Napenda hiyo, Mwanamke behind the Camera.. Sporah hiyo safi sana hapo ndio unawavutia wanawake wengi kujiamini kama hakuna kazi ya mwanaume wala mwanamke anawake wanaweza kufanya chochote. Sporah your good inspiration nakubaliana na NURU THE LIGHT UKO JUUU SISTER.
Karibu Bongo Dada Sporah
ReplyDeleteJamani Dada Sporah Hicho kiatu, Umependeza bwana mi nakukubali Sporah.
ReplyDeleteTaratatataaaaaa
AM LOVING IT.
Sporah jamani sasaivi nimewasha tu TV nimekutana na advet yako kwenye Star Tv, ninzuri sana.
ReplyDeleteMi mates wako tulisoma wote Kampala.Mtoto we naviatu.. Mh
Naona Ujaacha tu mambo yako ya Viatu, I can Imagine huko london.
Mwaya Hongera zako na tunakusapot sana.
The Shoes, The shoes, The shoes, The shoes Spora.
ReplyDeleteNimeipenda hiyo, umependeza sana dear. Keep it up.
Napenda hiyo, Mwanamke behind the Camera.. Sporah hiyo safi sana hapo ndio unawavutia wanawake wengi kujiamini kama hakuna kazi ya mwanaume wala mwanamke anawake wanaweza kufanya chochote.
ReplyDeleteSporah your good inspiration nakubaliana na NURU THE LIGHT UKO JUUU SISTER.
Nuru na wewe mama Uko Juu.
ReplyDeleteNapenda sana juhudi za huyu mrembo.
Wachaga bwana, Hongera dada Spola.
AHSANTE MDAU NASHURU...,
ReplyDeleteWACHAGA NA KABILA ZOTE ZIKO JUUUU..,SHUKRAN