jumapili njema na kwako pia wimbo huu kwa mara ya kwanza niliusikia mwaka huu nilipokuwa nyumbani. Nilifurahi sana. Ahsante:
huu mwimbo ni mzuri sana hata kama wewe sio mkristo lakini wote tunataka kubebwa na mungu ili tuepuke na mabaya..karibu
jumapili njema na kwako pia wimbo huu kwa mara ya kwanza niliusikia mwaka huu nilipokuwa nyumbani. Nilifurahi sana. Ahsante:
ReplyDeletehuu mwimbo ni mzuri sana hata kama wewe sio mkristo lakini wote tunataka kubebwa na mungu ili tuepuke na mabaya..karibu
ReplyDelete