bwana Nuru mimi siku ile nilivyosema miguu yako penseli nilikua nakutania tu; naona wafanyia ndalilo tena shoga! Lakini Utani kumbuka uliuanzisha mwenyewe, hujui kama wadau wako wengine tuna matege? I love U, Mwaaaaah!
Nuru samahani,kwanini unajiita penseli miguuz?mi ni mpenzi wa blog yako nimesikitika sana kuona hapo juu please!!!!!!!!usipende watu wakuite hivyo bwana please!!
passion am so sorry kama nimekuudhi jameni kuna mdau ndo aliniita hivyo lakini kiutani so ndo namimi nikaandika hivyo but its not somethin that i see myself as...pamoja tena ngoja niitoe
bwana Nuru mimi siku ile nilivyosema miguu yako penseli nilikua nakutania tu; naona wafanyia ndalilo tena shoga!
ReplyDeleteLakini Utani kumbuka uliuanzisha mwenyewe, hujui kama wadau wako wengine tuna matege?
I love U, Mwaaaaah!
hahahhhha wala sikuchukulia vibaya dear usijali kabisaaaaa,,,matege yako juuu tena sanaaaa...love u too mwaaaaaaaaaah
ReplyDeletenimekuandikia ki .... umeuchuna lini unakuja amsterdam? karibu au naomba contact zako basi tufanya mawasiliano
ReplyDeleteNuru samahani,kwanini unajiita penseli miguuz?mi ni mpenzi wa blog yako nimesikitika sana kuona hapo juu please!!!!!!!!usipende watu wakuite hivyo bwana please!!
ReplyDeletepassion am so sorry kama nimekuudhi jameni kuna mdau ndo aliniita hivyo lakini kiutani so ndo namimi nikaandika hivyo but its not somethin that i see myself as...pamoja tena ngoja niitoe
ReplyDelete