Hongera sana kakangu japokua nimechelewa kuitoa.Umejaliwa kuwa na sista kama huyu na mungu aendele kuwalinda wote na family yenu. From another sis who made food for you and my sweet for sista 2weeks ago.hahaha gues who...
nimeshakujua dada..aisee ahsante sanaa na tunashkuru mama..halafu nawewe pia mungu azidi kukubariki na roho nzuri uliyokuwa nayo na familia yako..ahsante sana
Hongera kwa siku ya kuzaliwa kaka Nuru nakutakia siku njema
ReplyDeleteahsante na mimi namtakia mema mdogo wangu na familia yake
ReplyDeletehongera jamani namtakia kaka maisha marefu yenye amani na utulivu kama chi yetu
ReplyDeleteameen ameen....
ReplyDeleteHongera sana kakangu japokua nimechelewa kuitoa.Umejaliwa kuwa na sista kama huyu na mungu aendele kuwalinda wote na family yenu. From another sis who made food for you and my sweet for sista 2weeks ago.hahaha gues who...
ReplyDeletenimeshakujua dada..aisee ahsante sanaa na tunashkuru mama..halafu nawewe pia mungu azidi kukubariki na roho nzuri uliyokuwa nayo na familia yako..ahsante sana
ReplyDelete