tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post5755738252200689542..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: MASHUJAA FEKI WENYE MASLAHI YAO WAPO,WAPOOOO!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger5125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-47957386033670632152017-04-01T07:46:00.151+02:002017-04-01T07:46:00.151+02:00Kuumia roho hahahhahahahah mother of 3 puliiiiiiii...Kuumia roho hahahhahahahah mother of 3 puliiiiiiiiiiiz. .<br />Kama maisha wote tunayo na kama kuwa blessied ww ni nani kumwambia mtu utabaki kuwa hivyo na maisha ya S huyajui vile umeona picha na mtu kapendeza maana wangapi dakika hii wanalia ndani ya nyumba zao nzuri na mageti..,<br />Nuru speaks her mind na ndiomaana umo humu kila kukicha kusoma wenzako kwani mm i talk about things i care NURU THE LIGHThttps://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-82127511590836760782017-03-31T22:25:14.392+02:002017-03-31T22:25:14.392+02:00AsanteniAsanteniBintinyotahttps://www.blogger.com/profile/04159120789809365794noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-26818145735198924182017-03-31T13:38:19.401+02:002017-03-31T13:38:19.401+02:00Proud mother of 3
Happily married
Blessing woman
T...Proud mother of 3<br />Happily married<br />Blessing woman<br />Tukutane Shade Lounge !<br />I'm stay positive and happy<br />Mbona kukurupuka. Kumwita mtu shujaa ni vile mtu anavyomwona. Wazazi wanawaits watoto malkia au princ,Queen . Sio kwamba ndo wanavyeo hivyo. <br />Walo mwita shujaa kuna walichokipenda hapo.<br />Kuhusu Fety hayo ni mapenzi yao huwezi kujua waliachanajeee. Wapo wengi Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-17968836340182755802017-03-31T03:11:47.319+02:002017-03-31T03:11:47.319+02:00Asante Cintea kwa maneno mazuri na mimi pia nafaha...Asante Cintea kwa maneno mazuri na mimi pia nafaham kwa undani zaidi historia yak tokea utotoni kwani nishakaa nae one and one na yeye mwenyewe kunihadithia na ndiomaana nashangaa kwann asifanye yale yeye alinyimwa kwa mtoto wake au watoto wke maana machungu anayajua.<br />kila itu ana masafi na machafu pia ila issue yangu mm ni yeye kutiga shujaa kwani wako wanaofanya mengi na wanastahili hilo NURU THE LIGHThttps://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-83742708940098739632017-03-31T00:35:45.782+02:002017-03-31T00:35:45.782+02:00Kila unayemuona mbele za watu ukiyasikia yake yand...Kila unayemuona mbele za watu ukiyasikia yake yandani utakaa chini, hata huyo aliyemuita Idodomya ukiyasikia yake utaugua. Kifupi sisi wote ni wanadamu hakuna aliyemkamilifu. Ney kwa ufahamu mdogo nilionao wa maisha yake ameishi maisha magumu sana na hakuna aliyemuonyesha mfano wa kuishi kama vile tunavyoona angestahili kufanya.Ndio maana wakati mwingine watu wa namna hii kwa kujua au kwa kutojuaAnonymousnoreply@blogger.com