tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post4081722260986258725..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: Ok Then!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-82985766380405018822017-07-07T08:20:38.244+02:002017-07-07T08:20:38.244+02:00Mungu ambariki Wema maaana wanamsema haswaaaa. Ila...Mungu ambariki Wema maaana wanamsema haswaaaa. Ila hata mie swala la watu kupiga picha matumbo yao inanikera haswaaaaaIrenenoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-78759804662756244792017-07-06T21:21:04.453+02:002017-07-06T21:21:04.453+02:00Inshallah kwa Rehma zake Allah atampa na kwa Rehm...Inshallah kwa Rehma zake Allah atampa na kwa Rehma zake atamjaalia Subra zaid atapoa<br />cha kumpa . Si wa kwanza duniani na kajikubali . Kuna wasofikiria zaa na hawana uhakika wanaweza kupata au hawawezi ! Allah mjaalie kila anayetamani inshaallah.<br /><br />Watanzania tunachelewa kwa Roho mbaua Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-6715612055953489892017-07-06T15:36:27.917+02:002017-07-06T15:36:27.917+02:00true kabisaaa
nasemage hawa mastaa wa majuu zaid u...true kabisaaa<br />nasemage hawa mastaa wa majuu zaid uwa wanatafuta kuendelea kuwepo kwenye soko <br />na pia soko lao lisishuke <br />wana make pesa na hizo picha, we wapiga na kupeleka kwako tena waweka ukutani <br />chaaaaa!!!! <br />afu kusema mwenzio we wajua ni lini utakuja waona hao wajukuu zako???? mfyuuuuuuu, au wako wakafa wote afu ukakosa kabisaaaa <br />huwa wananiboa kweli eti mbonasosoanohttps://www.blogger.com/profile/13836038794497077533noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-32369633389497567842017-07-06T14:59:41.683+02:002017-07-06T14:59:41.683+02:00Is she The one to talk about staha mmmh yeye hapen...Is she The one to talk about staha mmmh yeye hapendi kupangiwa na wenzake asiwapangieAnonymousnoreply@blogger.com