tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post1749883621662554641..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: WHY,WHY,WHY DID THIS HAPPEN!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-77483200512499974632017-05-11T10:13:53.476+02:002017-05-11T10:13:53.476+02:00Jamani roho imeniuma sana why lakini pamoja na adh...Jamani roho imeniuma sana why lakini pamoja na adhabu lakini pia kuna ubinadamu kwamba kitu hiki ni sahihi kwa ninayemfanyia na anajua kabatika hakuna hewa kwanini tunaomba serikali ishukue hatua stahiki atafutwe popote aliko aisee. <br /><br />Wazazi tunanafasi kubwa ya kuwalinda watoto wetu na majanga kama hayo maana bila mtoto shule haiwezi kuitwa shule so wazazi kwa umoja wetu tukemee mambo Cute Olivenoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-21024465747607487582017-05-10T17:11:27.664+02:002017-05-10T17:11:27.664+02:00Walimu kulindana ndio zao maana keshokutwa atafany...Walimu kulindana ndio zao maana keshokutwa atafanya mwengine kwahiyo lazma wa back eachother hata kama wanajua kuwa wamekosea.,<br />Huoni issue hii alibaki mmoja tu na akaripoti atleast wakasave one life.<br />Bila hata pole gazeti lilikuwa zuri na by sharing umetufunza na mama yako alikupigania even though The system failed you n her<br /><br />Wazazi mna power especially hizi shule mnalipa NURU THE LIGHThttps://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-64017507958562640152017-05-10T16:34:41.667+02:002017-05-10T16:34:41.667+02:00Yaani nimeudhik mpaka nkasikia kutapika! Na huyu m...Yaani nimeudhik mpaka nkasikia kutapika! Na huyu mwalimu awrkwe kwenye hiyo safe mbwaaa kabisa!Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-9071509406088609112017-05-10T15:44:50.256+02:002017-05-10T15:44:50.256+02:00Nuru wakati nasoma saint kayumba long ago niliwahi...Nuru wakati nasoma saint kayumba long ago niliwahi kufungiwa stoo toka saa tatu asubuhi mpaka saa mbili usiku (bila kula)na mbaya zaidi mwalimu alinisahau kwamba amenifungia humo hivyo akaondoka akaja kukumbuka huo usiku. Natoka shuleni kufika nyumbani nakuta mama yangu kalia mpaka BP imepanda kalazwa hospitali, kaka zangu ndio wanahangaika kunitafuta. Na pia kumbuka nilienda mwenyewe nyumbani naAnonymousnoreply@blogger.com