Thursday, July 6, 2017

Ok Then!!!



4 comments:

  1. Is she The one to talk about staha mmmh yeye hapendi kupangiwa na wenzake asiwapangie

    ReplyDelete
  2. true kabisaaa
    nasemage hawa mastaa wa majuu zaid uwa wanatafuta kuendelea kuwepo kwenye soko
    na pia soko lao lisishuke
    wana make pesa na hizo picha, we wapiga na kupeleka kwako tena waweka ukutani
    chaaaaa!!!!
    afu kusema mwenzio we wajua ni lini utakuja waona hao wajukuu zako???? mfyuuuuuuu, au wako wakafa wote afu ukakosa kabisaaaa
    huwa wananiboa kweli eti mbona huzai, zaaa umri unaenda sijui blaaaa blaaaa
    kitabu gani cha Mungu kiliandika mwanzo wa kuzaa na mwisho wa kuzaaa???
    mlegeeeee kabisaaa mnaowasema mwenzenu

    ReplyDelete
  3. Inshallah kwa Rehma zake Allah atampa na kwa Rehma zake atamjaalia Subra zaid atapoa
    cha kumpa . Si wa kwanza duniani na kajikubali . Kuna wasofikiria zaa na hawana uhakika wanaweza kupata au hawawezi ! Allah mjaalie kila anayetamani inshaallah.

    Watanzania tunachelewa kwa Roho mbaua

    ReplyDelete
  4. Mungu ambariki Wema maaana wanamsema haswaaaa. Ila hata mie swala la watu kupiga picha matumbo yao inanikera haswaaaaa

    ReplyDelete