Hahaha Da Nuru umenifurahisha sana,Cheo bila pesa ni sawa na nini?.....Hapa ofisini nilipewa ka promotion jina mshahara pale pale ndo nkasema cheo mbwembwe tu ishu mshikoo.I like huu usemi wako cheo bila pesa ni sawa naaaaaaaaaaaaaa
Kaujumbe kajuuu ni nomaaaa
lovely and beautiful, the lady in white
i love the look honey.umetokelezeaaasasa bibi yangu alikuwa akitwambia tusiweke bag chini siyo vizuri basi nimeona umeiweka chini nimetamani kuiinua. lol
Umependeza sana Nuru.
Nilijua muuuguzi wa hospital flan .
Nuru chochote utakachovaa kitakupendeza hata ujifunge kaniki, umejaaliwa mwili wenye udongo mzuri...CinTea
Am tellin u Mischa haha Comfort lol..Binti uzuri pasafi ila kuweka pochi chini marufukuCute ahsanteThank you Tea wangu ni DHL bajia basiiiiii...lol
hahhhahh!!!!!!! kweli m cheo cha bila pesa sikitaki pendeza na nguo ya daktari
Hahaha Da Nuru umenifurahisha sana,Cheo bila pesa ni sawa na nini?.....
ReplyDeleteHapa ofisini nilipewa ka promotion jina mshahara pale pale ndo nkasema cheo mbwembwe tu ishu mshikoo.
I like huu usemi wako cheo bila pesa ni sawa naaaaaaaaaaaaaa
Kaujumbe kajuuu ni nomaaaa
ReplyDeletelovely and beautiful, the lady in white
ReplyDeletei love the look honey.
ReplyDeleteumetokelezeaaa
sasa bibi yangu alikuwa akitwambia tusiweke bag chini siyo vizuri basi nimeona umeiweka chini nimetamani kuiinua. lol
Umependeza sana Nuru.
ReplyDeleteNilijua muuuguzi wa hospital flan .
ReplyDeleteNuru chochote utakachovaa kitakupendeza hata ujifunge kaniki, umejaaliwa mwili wenye udongo mzuri...CinTea
ReplyDeleteAm tellin u Mischa haha
ReplyDeleteComfort lol..
Binti uzuri pasafi ila kuweka pochi chini marufuku
Cute ahsante
Thank you Tea wangu ni DHL bajia basiiiiii...lol
hahhhahh!!!!!!! kweli m cheo cha bila pesa sikitaki
ReplyDeletependeza na nguo ya daktari