Wednesday, July 5, 2017

AND THEN CAME MERCYQUEEN,LETS DO THIS LA FAMILIA!!!






MercyQueen..,













SHE DID THAT..
The Light With Eli..,


 Les Crew.,.,

 LES CREW..








 MJ..,







 WITH MY MERCYQUEEN..,






 HAPO CHA-CHA..,




 ELI..,











 Kanata chini kamatia chini...,hhahaahah







So our Cousins are here from Scotland and we are having a ball..,
Cousins wetu wanaoishi Scotland wamekuja kutusalimia acha tuenjoy nao kidogo..,
Mwili wote uko hoi baada ya kuhama jana kwani shughuli haikuwa ndogo..,

8 comments:

  1. heheh hiki ki-PJ cha leo hakumuachi mtu salama umenikoshaaa umetokelezea mwake mwake!!

    again KEEP UP THE LOVE LA FAMILIA

    ReplyDelete
  2. Kamam kawa dah Nuru natamanije hizo bata mnazokula

    ReplyDelete
  3. Nuru nimependa sana ure outfit

    ReplyDelete
  4. hahahhaha!!! nacheka hilo pozi la mrs Beckham, yani umelipatia kwelikweli ila sasa ungetoa mkono
    msalimie my MJ nimemuona mwambie nimemisi jmn...
    hongereni wote kwa kufurahia maisha and you should coz life yenyewe iko short so enjoyiiini
    msalimie mrs wa kaka mkubwaaaaa (huyo mwenye pink gauni), anaonekana ni mpole sana sana, yeye ni kutabasamu na kucheka tu,

    ReplyDelete
  5. Fun fun funny. Big up la familia

    ReplyDelete
  6. mh in love with the girl in curl hair jamani she is beautiful haswaaa

    ReplyDelete
  7. Natamani nihamie kwenu kwa kweli nipeni basi mwaliko mmmmmh sio kwa bata hiziii lo!sikumbuki hata nimetoka lini mara ya mwisho.

    ReplyDelete
  8. Irene my cuzz Mercy Queen atafurahijeee na comment yako..
    Thank you Christine
    Binti marogoooooo
    Cutey njoooo mpenzi hata a weekend
    Totooo kama kawaaaa
    Soso wewe nakuacha maana ukishamuona Mj bhaaaas

    ReplyDelete