Nilisend wanaume weusi .... Wolper date kwa kuangalia sasa. Rudi kwa wachanga wenzao mfanye kazi kuliko kiki. Sipendagii mwanaume mwenye vishondo vya kike . Tumeachana kila mtu amweshimu mwenzake
Hahahaha duh kumbe ilikua kweli mzungu kampikuu mchana kweupe! kweli awe makini kwa sasa na sio lazima amtangaze mpenzi wake hadharani mana wabongo tulivyo tunahesabu tu idadi inaendelea kuongezeka hahaahah!
Nilisend wanaume weusi ....
ReplyDeleteWolper date kwa kuangalia sasa. Rudi kwa wachanga wenzao mfanye kazi kuliko kiki.
Sipendagii mwanaume mwenye vishondo vya kike . Tumeachana kila mtu amweshimu mwenzake
Hahahahahha wanaume wenye vishindo vishondo vya kike...Deadπππ
ReplyDeletejamani haya mambo yanahitaji kuwa na huruma hasa kama mlikuwa na mahusiano ya kwenye mtandao bulshit what a shame
ReplyDeleteHahahaha duh kumbe ilikua kweli mzungu kampikuu mchana kweupe! kweli awe makini kwa sasa na sio lazima amtangaze mpenzi wake hadharani mana wabongo tulivyo tunahesabu tu idadi inaendelea kuongezeka hahaahah!
ReplyDelete
ReplyDeleteIrene ukideal na mshamba this is what happens,,