Tunajua waliopitisha sheria hapo bungeni kwa kusema NDIYO wengine wakisema SIYO wakati huo wa Mkapa hadi Kikwete juu ya Madini yetu. Tunaomba Mikataba iwekwe wazi ili kuficha Mianya ya rushwa na udanganyifu kwa Taifa. Mfano tu hai kuna mikataba ambayo imeshasainiwa Awamu hii lakini hatuijui kama na yenyewe itatuletea tena hasara au maana ni SIRI. TUNAHITAJI UWAZI la sivyo tutaendelea kudanganyika watz
Me napita tu.
ReplyDeletengoja ninyamaze tu
ReplyDeletemana hakuna anayejua ukweli wa hili jambo
wanajua wenyewe why yametokea.
Changanya changanyaa hadi nachanganyikiwa mimi ...mweeh!mwamini
ReplyDeleteTunajua waliopitisha sheria hapo bungeni kwa kusema NDIYO wengine wakisema SIYO wakati huo wa Mkapa hadi Kikwete juu ya Madini yetu. Tunaomba Mikataba iwekwe wazi ili kuficha Mianya ya rushwa na udanganyifu kwa Taifa. Mfano tu hai kuna mikataba ambayo imeshasainiwa Awamu hii lakini hatuijui kama na yenyewe itatuletea tena hasara au maana ni SIRI. TUNAHITAJI UWAZI la sivyo tutaendelea kudanganyika watz
ReplyDelete