Ki ufupi tu sikupenda ujumbe wa Diamond tena akitumia picha ya mama watoto wake hata kama ni kiki au nini wherever maana anawafundisha nini wengine kwamba hakuna mapenzi ya kweli au? alafu yeye alijua ni uongo why atumie hiyo picha kufikisha ujumbe ni kama amemdhalilisha mama watano
huyu diamond naeee....kakuzalia watoto wawili bado humuamini nini sasa?
ReplyDeleteKweli unaweza kumtoa mtu uswahilini lakini usiweze kuuotoa uswahili ndani yake
ReplyDeletesijui ndio nyimbo mpya mn ht sielewi
ReplyDeletengoja nitazame tu mpk mwsho
Makubwaa!mwamini
ReplyDeleteKi ufupi tu sikupenda ujumbe wa Diamond tena akitumia picha ya mama watoto wake hata kama ni kiki au nini wherever maana anawafundisha nini wengine kwamba hakuna mapenzi ya kweli au? alafu yeye alijua ni uongo why atumie hiyo picha kufikisha ujumbe ni kama amemdhalilisha mama watano
ReplyDelete