Agnes a.k.a Wifi...
Linex and Chiddy Benz.,
Caputain Hilda,Rio Paul,Mishy and Devota Diva!
Tanashe and Designer Sheria Ngowi...
Irene Uwoya..
With Lou Lou..
La Familia
May YOU Rip Herry a.k.a Gaga wetu..
My Kanumba one of Thee Greatest actors to ever Come out of Tanzania..
Ahsante kwa maneno yako kwani ulikuwa wakipekee,Rip!!

Nuru The Light shost when are you gonna give us new music
ReplyDeletekwa kweli ni bonge la TBT mana watu wametoka mbali jmn
ReplyDeleteakina Rio,Martin, RIP Henry,
afu da nuu yule sio Irene Kiwia bana ni Irene Uwoya au mi nimeona vby
nice TBT
true da nuu Kanumba was the bestestestest Actor kwa hii nchi yani alikuwa balaaaa
RIP Kanumba,
hope yupo au atatokea mwenye kipaji kama chake au na zaidi ya chake ili tasnia yetu ikue na kufika mbali,
Enzi hizooo..chid akiwa benz,ya Rabbi msaidie katika mtihani alionao na vijana wengine.Amin!mwamini
ReplyDeleteTBT la nguvu. You look good as always. Herry and Kanumba may their soul rest in eternal peace.
ReplyDeleteKweli TBT
ReplyDeleteDa Nuru ni Irene Uwoya sio Kiwia. Winnie
ReplyDeleteKweli ilikua bonge la TBT nawaona wengi na wengine Mungu amewapenda zaidi kweli maisha ni safari kuna rafiki yako hapo nimemuona nafikiri ni mke wa mzungu ulikua unampost hapo nyuma ila sijaona tena post zake yukogo wapi
ReplyDeleteCute Olive yuko na mzungu wake she good..
ReplyDeleteAhsanteni wote yaa ngoja nibadilishe mamaaa..
Chid is ok now ila ndio hivyo huu ugonjwa ni a constant battle..
Yano Leo nimeuliza kuhusu Kuimba then nakutana na post yako Huku chili serious tupe mambo Mapya. Nice memory with kanumba
ReplyDelete