Mumgu mpe afya njema Sadya. Ha kuna gumu kwako na wala wewe Hushindwi. Hakika tege me let ni kwako Mungu basi tumeinua mikono yetu tuu.Na tu naamini msaada wako ni mkubwa kwetu .mpe afya kama mwanzoni Inshaallah . Watz kiboko wote mmeongea comment ya Rais. Mmeshindwa hata kutoa omba lens kwa mtt Sadya.Huwenda sauti yako ikawa ndo pony lake dah . Mnakatisha tamaa
Aaah! Hio ya mwisho kwa rais ni kali.
ReplyDeleteWatu wana maneno jamani.
Natumaini rais atayatafakari.
Mm mmh, MissY.
coment ya mwaka
ReplyDeleteHahahahaha Laude ni nomar na hiyo tweet yake ya mwaka...P.K
ReplyDeleteI'm afraid sheria ya mtandao inaweza fanya kazi hapa!!
ReplyDeleteMumgu mpe afya njema Sadya. Ha kuna gumu kwako na wala wewe Hushindwi. Hakika tege me let ni kwako Mungu basi tumeinua mikono yetu tuu.Na tu naamini msaada wako ni mkubwa kwetu .mpe afya kama mwanzoni Inshaallah .
ReplyDeleteWatz kiboko wote mmeongea comment ya Rais. Mmeshindwa hata kutoa omba lens kwa mtt Sadya.Huwenda sauti yako ikawa ndo pony lake dah . Mnakatisha tamaa