Sunday, May 28, 2017

REST IN PEACE IVANDON!!!


 Man these kids are strong tena sana na mnavyoongelea vibaya huu msiba wakati hata hajazikwa mungu atadeal na nyie.
Kuna wakati vitu vikitokea jifunze kwa mwenzako nimeamini kuna baadhi ya Watanzania hamna utu, huruma na wala busara mpaka mnatia aibu.

9 comments:

  1. Ulikuwa huwajui watz ??
    Lakini kumbuka wa nacho ongea au kuandika ni mimi na wewe ndo tunakisoma wahusika wako busy msiba

    ReplyDelete
  2. Social media zimesaidia sana kujua watu walivyo.

    ReplyDelete
  3. Anon5.25 nawajua kwani hata mimi walinitungia mabaya ila ikAfika mda niliyaona ndio nikajua na kujifunza ja iko siku hawa watoto watayaona na nja ya muongo ni fupi na mwisho wa ubaya always ni aibu..
    Comfort uko sahihi kabisa

    ReplyDelete
  4. Alafu ukiangalia ndo watanzania wako busy na maisha ya hawa watu..sijaona media za kiganda wanaongelea kiivyo

    ReplyDelete
  5. Yaan baada ya msiba huu kutokea kwa mara ya kwanza nimehisi aibu kuwa mtanzania tunatia aibu kwakwel yote hii ni sababu hatukuandaliwa vizur ktk matumizi ya mitandao ya kijamii kabla ya kuwa introduced.
    Shame on us, shame shame

    ReplyDelete
  6. watu wameandika mengi sana ila kweli yasikie kwa mwezio. nachoshukuru wako pamoja na umoja sana Mungu aendelee kuwatia nguvu

    ReplyDelete
  7. yaani mpaka inaudhi kwa kweli hakuna cha maana tunachofanya kazi kufuatilia maisha ya watu. badala ya kufariji wafiwa wao ni kuwaongelea vibaya tu

    ReplyDelete
  8. bongo noma jmn
    hatuna kazi zaid ya umbea tu
    aiseee wabongo tumezidi,

    ReplyDelete