Hivi ushawahi mfumania bwana ako akiwa kitandani akikatikiwa na Dem flani amaizing na wakati anafanyiwa kitendo hicho cha kukatikiwa anapewa maneno matam na bwana ako anajibu tu yes baby yes this is your muhogo baby ni wewe tu halafu anashtukizia umemkata utam by kumvuta wigi au weaving ya dem na kumburuza halafu yy ukiivuta ndizi yake huku akikuambia nakusema ni shetani tu alinipitia ni pepoooo😆😂😂😂 basi that sums upp this interview!
Kuna wakati kukaa kimya ni bora na kuendelea kufanya kazi zako kuliko kuongea!!
Nuru umepinda hahahahahah
ReplyDeleteMakonda ni masikini alopata madaraka bila kutegemea . Amepata mengi na ndo anayojifanya kulipiza kwa watu.
ReplyDeleteHanithi tu ameongea cheo dhamani ya kuwa umia watu. Ndo maana wa namwambia ni bi mdogo kwa alomuweka madarakani.
(Boraangezakiwajikekulikodumejinga)
Huo mfano tu hahahaha kwann lkn Nuru hahaaha
ReplyDeleteHahahahahahahaaa Nuru wewe sio mzima, huko sio kupinda ni kunyongorotoka. Winnie
ReplyDeleteNuru umevuta cha Arusha au������. Hakya nani umevurugwaaa na DAB!
ReplyDeleteYaani nimechekaaa
ReplyDeleteHii ngoma Bachan!!!