Monday, May 1, 2017

MR AND MRS DAUDI KUSEKWA!!!















Images by millardayo.com

6 comments:

  1. Mwanaume mdogo. Mungu awasimamie ila bila ya uvumilivu . Utajuta kila mtt na baba ake
    Mungu akusiamini na iwe ndoa ya varaka

    ReplyDelete
  2. da nuu mi niko uku alikozaliwa huyo kijana
    yani watu wanasema huyu kijana ni mdg kwa flora mi siwez sema chochote coz sijawahi mwona ila weng wanamjua mana amekulia uku kwa wazazi wake, na jana ndio madam aliletwa rasmi uku kijijini yani ni fulu vumbi
    sasa watu wanajiuliza madam kafuata nini kwa huyu kjn
    na unaambiwa walikutana fb na kuanza maongezi uku na mpk kupeana namba za simu
    ni stor zilizopo uku kwetu yani jana mtaani kwetu ilikuwa ni kwenda kumuona flora wacha wanajamii wajae wamuone flora

    ni hayo m sikupewa kadi ya kuchanga so sikuweza kwenda
    ningepewa ningepiga picha uwaonyeshe

    ReplyDelete
  3. Yaani wee Susan Arord ni mshakunaku, mmbeya wa kupitiliza. Yaani unataka kusema muda wooooote wa maandalizi ya arusi familia ya huyu mume (Daudi) hawakuwahi kumwona Florah ?? Na kama hawakupenda jinsi Florah alivyomzidi kijana wao umri si ungekuwa muda muafaka kumwambia kijana wao amwache. Jamani tujifunze kuwa mapenz popote na haswa kama mtu kapita miaka 18 basi ni mtu mzima na sheria zinaruhusu. Na umesema wamekutana Facebook basi ina maana wameanza kujuana muda mpaka wakafanya maamuzi ya kufunga ndoa ina maana Mume ameridhika na mkewe na mkewe karidhika na mmewe! Ofcoz kuna changamoto zake kuolewa na mume umri mdogo lakini haujui Florah kampendea nini huyu kaka na pia hamjui huyu kaka kampendea nini Florah. Jamani ifike muda tuanze kuheshimu maamuzi ya watu....yaani hapo angetokea libaba limoja lizeee ndio limevuta jiko ya kabinti kaliko maliza tu form 4 ungeona jinsi watu wangemsifia...eti kaoa mtoto mdogo, kaoa dogodogo mxchwwe...mnachoshaaa!

    ReplyDelete
  4. wewe anony unayeandika nyuma ya pazia ngoja nikueleweshe mana unaonekana hata shule ulikuwa unalazimishwa kwenda
    soma nilichoandika kuna sehemu nimetaja ndg zake au wazazi wake
    mfyuuuuuuuuuuuu!!! hovyo kweli
    ushakunaku kwa mwanamke sunna kama ulikuwa hujui, nyie ndio mnajifanya wazuri kusifia hata vilivyo vibovu,
    mbovu wa kusoma na kuelewa nyie ndio anko magu anatakiwa awatumbue
    unakurupuka tu
    etiii oohhh!!! mshakunaku mmbeya kweliii nikuulize kama na wewe sio mmbeya nini kilichokuleta uku na ukakoment, kama wewe sio mmbeya usiingie humu, mana hata kuangalia habari za da nuu ni umbea tosha.
    etiii wazazi wake si wangemkataza
    narudia tena soma ujumbe wangu vzr sijataja mzazii wala ndg wa yyt hapo
    nimesema watu wanaomjua huyo kjn
    hovyooooo sijui bibi wewe au kizeee cha milembe

    so nisiongee au kuandika nilichosikia kwa watu
    au nikupe sanduku la posta uje nikupeleke kwao na mpk ukumbi waliofanyia sherehe au nikutumie nauli nini
    acha kuongea hovyo

    da nuu huo ni ukweli mtupu kwa watu wanaomjua huyo kijana na narudia tena mie simjui ila uku ndio kwao kabisaaaaa

    ReplyDelete
  5. Hahahaha dah...eti shule nlikuwa nalazimishwa kwenda hahaha.....for your info...those that are not learned are the once always found poking there noses in peoples issues....ngoja nikutafsirie bibie usije sema nimekutusi kwa lugha ya malikia...NINASEMA HIVI...wale ambao elimu haipandi ndio hao wao kila kukicha unakuta vipua vyao viko busy kuongea mambo ya watu....na wewe Susan Anord ndio kiongozi wao. IFIKE MUDA TUWE TUNAACHA WATU WAFANYE YAO NA SISI TUFANYE YETU BILA KURIPOTI KICHONGANISHI KAMA ULIVYOFANYA HAPA!.

    Pili, hii blog ya Nuru the Light huwa naipenda na sio zile za umbea, anatuhabarisha kistarabu na huwa anatufundisha maadili ya kuishi na watu, au kukubali na kusifia pale panapostahili na huwa anatupa muktasari wa yaliyojiri n.k. ndio maana dear humu sitoki lakini wa aina yako wananikwaza nkikutana nao pande hii. I rest my case kwamba....Harusi ni kitu kizuri...tuwe na tabia ya kufurahia vya wengine na sio kuponda au kuweka maneno ya kutaka kurahibu au kutia dosari.

    ReplyDelete