Tuesday, May 30, 2017

LIFE IS SO UNFAIR AT TIMES!!!



5 comments:

  1. Inauma sana jamani Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kazi ya Mungu haina makosa ni njia yetu sote

    ReplyDelete
  2. Very Sad,Yatapita tu.
    Uje kukua na kuendeleza legacy ya Mama yako.

    ReplyDelete
  3. Mmmmmmmmh!jamani na babu tena?Mungu msaidie huyu mtoto.

    ReplyDelete
  4. jmn eluuuuuiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!! nimeumia sana na haya maneno ya huyu mtt
    jmn jmn ehhh! Mungu mpe uwezo na watu wa kumsaidia
    ehhhh yani utumbo umenicheza kwelikweli
    nasikia uchungu kuona watt wadogo wakibaki peke yao kwenye maisha kama haya
    wanaowategemea wanaondooka
    jmn huuuuuiiiiii

    ReplyDelete
  5. So sad. Lakini Allah ni mjuzi zaidi, ameshapanga zaidi muhimu ni kuwa na subra.

    Kinaumiza bado mdogo sana. Amekutana na vifo mpaka yaweza huwa haoni faida ya kuishi. Lkn tumuombee

    ReplyDelete