jmn eluuuuuiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!! nimeumia sana na haya maneno ya huyu mtt jmn jmn ehhh! Mungu mpe uwezo na watu wa kumsaidia ehhhh yani utumbo umenicheza kwelikweli nasikia uchungu kuona watt wadogo wakibaki peke yao kwenye maisha kama haya wanaowategemea wanaondooka jmn huuuuuiiiiii
Inauma sana jamani Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kazi ya Mungu haina makosa ni njia yetu sote
ReplyDeleteVery Sad,Yatapita tu.
ReplyDeleteUje kukua na kuendeleza legacy ya Mama yako.
Mmmmmmmmh!jamani na babu tena?Mungu msaidie huyu mtoto.
ReplyDeletejmn eluuuuuiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!! nimeumia sana na haya maneno ya huyu mtt
ReplyDeletejmn jmn ehhh! Mungu mpe uwezo na watu wa kumsaidia
ehhhh yani utumbo umenicheza kwelikweli
nasikia uchungu kuona watt wadogo wakibaki peke yao kwenye maisha kama haya
wanaowategemea wanaondooka
jmn huuuuuiiiiii
So sad. Lakini Allah ni mjuzi zaidi, ameshapanga zaidi muhimu ni kuwa na subra.
ReplyDeleteKinaumiza bado mdogo sana. Amekutana na vifo mpaka yaweza huwa haoni faida ya kuishi. Lkn tumuombee