Sunday, May 21, 2017

JENNIFER GOT HER GROOVE BACK WITH ALEX RODRIGUEZ!!!










Just jared,getty images

5 comments:

  1. They look perfect, Natamani huyu ndo angekua baba twins

    ReplyDelete
  2. jmn Jlo hazeeki kahhh!!!!
    hongera zake
    da nuu mfikishie

    ReplyDelete
  3. kha hiyo dawa anatumia kutozoeka nami naitaka

    ReplyDelete
  4. hahahhaha!!!! irene umechekesha kweli
    dawa ni mazoez na kula vzr ila kama una sura kama ya koko(khloe kardashian) itaonyesha tu kuwa umeshaacha njia siku nyng
    ila kama una sura ya akina kim na kendall unazeeka ila unakuwa hauonyeshi sana
    but ukiwa na magonjwa ndio wazeeeeekaaaaa mpk basi
    so ni muhimu kula vyakula vyenye kujenga na kulinda mwili ili kuzuia magonjwa mbali2 + mazoezi
    mi nilikuwa na plan ya kununua vifaa vya mazoez ila ndio ndoto zangu zimekatishwa mana sijui hata ya ajira yangu

    si unamuona wema, anaonekana mkubwa coz of mwili na sura nayo imenenepa ila akifanya mazoez akapungua na kuwa na umbo dogo kiasi na sura nayo itakuwa nzr mana hana ile sura ya kukomaaaaa mie,,,,,,,

    so unene nao unachangia mtu kuonekana mzeee

    ReplyDelete