Tuesday, April 11, 2017

Yaliyojiri!!!



3 comments:

  1. Replies
    1. NCHI yetu kama Rwanda sasa.
      Raisi alisema ktk m kutano mkuu wa mwezi ulipiga "Atakaye jitia kiherehere kusapoti kitu aso taka "Anatumbua. Subirin Soon MTAONA Wamesubutu anawatafutia makosa na kuwatumbua
      Bashite kabebwa na Raisi. Nahis kuna kitu alijifanya kikubwa na kinachomfanya aendelee Kubeba.
      Mungu a tusimamie. Dah aliimba q chif. AFADHALI uzaliwa paka ulaya kuliko hapo oo
      Tutakimbilia wapiii

      Delete
  2. Ameyataka mwenyewe alidhani watamuogopa? Hakujua WA TZ tuliichoka CCM siku nyingine!!! Yy alipewa kama yeye lkn kumbe duh!!!

    Haya watoto wanaparaganyika hao!!!
    Mabadiriko ndani ya CCM yataletwa na wana CCM (baba WA Taifa mwl. Julius Kambarage Nyerere). Mungu akurehemu, ilikuwa ukiona mbali sana!!!

    Ya Laiti ungeinuka kwa dakika 5 tu!!!
    Charaza bakora wote wanaoharibu kazi Kubwa mliyoifanya miaka 50 na shee.

    Nchi inazid kushuka thamani kuanzia Njuruku mpaka Hadhi

    ReplyDelete