Ok ulaya wanaiita Ghana must go Bag..,
Bongo niliambiwa zinaitwa Pemba bag..,
Sasa kwavile Keke made this Trending today so tuone kama wengine watafuatilia!
wakati wa msiba wa wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere alilibeba wakati anatokea Uingereza pale AIRPORT tangu wakati huo mifuko hiyo ikaitwa ya mama Maria,kwa wanaokumbuka
da nuu uku kwetu zinaitwa msambaaa
ReplyDeleteA.k.a shangazi kaja!mwamini
ReplyDeleteNuru bongo zinaitwa shangazi kaja. Winnie
ReplyDeleteShangazi yoyomba.
ReplyDeletePemba bag!!!
Watu watabeba tu
Ona mpaka watu wamemgeukia.
ReplyDeleteDah wacha inipite hii fashion..
Hahahahaha best post ever..,kumbe lina majina mengi hivi ngoja nlitafute ulaya nilivalie outfit..,
ReplyDeleteNiliiona hii kwa linda ikeji.ila inaonekana nzito lo!
ReplyDeleteWanemgeukia because she is a celebrity..,
ReplyDeleteNzito ukijaza vitu.
ReplyDeleteNuru ntakutumia pic, but yangu itakuwa ile ndogo
wakati wa msiba wa wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere alilibeba wakati anatokea Uingereza pale AIRPORT tangu wakati huo mifuko hiyo ikaitwa ya mama Maria,kwa wanaokumbuka
ReplyDelete