Thursday, April 13, 2017

KEKE YOU GO GUUURL!!!


Ok ulaya wanaiita Ghana must go Bag..,
Bongo niliambiwa zinaitwa Pemba bag..,
Sasa kwavile Keke made this Trending today so tuone kama wengine watafuatilia!

10 comments:

  1. da nuu uku kwetu zinaitwa msambaaa

    ReplyDelete
  2. Nuru bongo zinaitwa shangazi kaja. Winnie

    ReplyDelete
  3. Shangazi yoyomba.
    Pemba bag!!!

    Watu watabeba tu

    ReplyDelete
  4. Ona mpaka watu wamemgeukia.
    Dah wacha inipite hii fashion..

    ReplyDelete
  5. Hahahahaha best post ever..,kumbe lina majina mengi hivi ngoja nlitafute ulaya nilivalie outfit..,

    ReplyDelete
  6. Niliiona hii kwa linda ikeji.ila inaonekana nzito lo!

    ReplyDelete
  7. Wanemgeukia because she is a celebrity..,

    ReplyDelete
  8. Nzito ukijaza vitu.
    Nuru ntakutumia pic, but yangu itakuwa ile ndogo

    ReplyDelete
  9. wakati wa msiba wa wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere alilibeba wakati anatokea Uingereza pale AIRPORT tangu wakati huo mifuko hiyo ikaitwa ya mama Maria,kwa wanaokumbuka

    ReplyDelete