Monday, March 6, 2017

OH REALLY!!!



WAKATI WALE WENGINE WALIKUWA NDANI KWA TUHUMA JE ULIVAA VIATU VYAO PIA JACQUELINE??

AU VIATU VYA NDUGU,MKE,MUME AU WAZAZI WAO?
SOMETIMES UACHE UNAFFKI NA KUKAA KIMYA PIA NI JIBU WOLPER A.K.A YUDA,😞😞😞

11 comments:

  1. Ulipomaliza na Yuda basi, Sina la kuongezea labda, P A
    AM...

    ReplyDelete
  2. Wolper mnafiki tuuu endelea kuuguza yako ya kupenda na kuachwa
    . Alikuwepo kwenye panda mitI hakutajwaa. Mwachevatukanew na bado lazma laana zimfikie. Alikuwa hana busara alijifanya kiburi. Sasa atamalizie ma kanisa na msikiti kwa maombi
    Mungu atamwonesha hapa hapa

    ReplyDelete
  3. hahahhahah!!!
    da nuu we ni kiboko
    etii niniiiii jacq a.k.a yuda
    mnafiki tu

    ReplyDelete
  4. Huyu kaka jamani asingetangaza watu hadharani na kuwadhalilisha nna imani yote yasingetokea haya. Yeye alifanyia kama sifa wakati aliharibu kabisa kina Manji wanasota tu unadhani kuna anaefurahia? Wolper mnafiki sana huyu dada loo.

    ReplyDelete
  5. KAWAIDA YA YUDA HURUMA KWA KITU CHA UKWELI? NA BADO TUNATAKA VYETI HADHARANI

    ReplyDelete
  6. Nuru is that you? hahaha hahaha hahaha point well placed!!! this is a two way thing! wapo waliotuhumiwa na yupo Paul mbona kiatu cha Paul ndicho kilicho mbana tuu, weeeeeee dada wa warevaaa we are watching your mouth!

    ReplyDelete
  7. Nuru usinelewe vibaya but I seem to get the impression humpendi kabisa Wolper?? I think mara nyingi huwa unam-address in a language filled with hatred or a despise manner. I personally,am not a fan of hers either is she relevant to my life but huwa nasoma caption zako tofauti kuhusiana na watu tofauti na kiukweli huwa hubagui au hupendelei na kama mtu anakosea huwa unajaribu ku-view out your opinion regarding the situation. Ilaa kwa bi dada aka bi Yuda kuna message huwa na soma na sometimes I seem to think it's way personal. Ingawa unamrusha kwenye blog yako mara kibao kama njia ya kupromote na sio vibaya at all. But heeeeeey as your followers for more than 7years I think you need to clear the air kidogo on whatsoever happened between wewe na yeye (If and only if it ever happened) or ndoo kibinadamu kwamba huwezi kubalika na kuclick na watu wote and vice versa. Ni mtazamo tuu nothing personal on my end otherwise I personal believe that you are a good person on the inside and truly patriotic/loyal towards your family and friends,your country Tanzania, Fashion and music na utu wema kwa kila mwanadamu.

    ReplyDelete
  8. Wee wolper acha unafiki mchaga mwenzangu, huyu daudi bashite kawadhalilisha watu mchana kweupeee kwa misifa yake Leo imemgeukia yeye anaanza kulilia ovyo Mara makanisani Mara msikitini usanii mtupu....msonyooooo!!!

    ReplyDelete
  9. huyu mnafiki na labda anamtaka Makonda baada ya Harmonize. Avae viatu vya wote waliosemewa na Makonda na kuachishwa kazi...halafu avae vya wale waliowekwa mahabusu na hawajakutwa na chochote ndio aje aongee hapa. Huyu yuda kwa kweli

    ReplyDelete
  10. Umetisha best no word sina cha,kuongezea

    ReplyDelete
  11. Anony WA March 7.

    Hapa ukija na well done unapewa pongezi zako. Ukija na Mapyoro (in zenji ppl voice). Unapewa makavu live

    Yaani huku The Light hakuna upendeleo wala chuki binafsi. Hata Light anapewa makavu live.

    Huyu Dada ana madudu sanaa kuendana na umuonavyo!! Hajajielewaa. So post zake nyingi lazima zitaendana na matendo take!!

    All in all, hiyo ni view yako na kila MTU huko na haki ya kujimwaga huku. Ni vizuri kufunguka. Big up.

    Mimi kama MTU siwez kumpa makavu, kuliko kumsifia uongo, bora ninyamaze!! But kuwa muwazi ni vizuri

    Tatizo LA Gambe mcharuko

    ReplyDelete