Friday, March 24, 2017

MIMI SIO NYUMBA NIFANYIWE RENOVATION,SKILIZA NA UJIFUNZE!!!

Huyu Mama kanichekesha yaani nimecheka anyhow hii ni sensitive subject so sitaiongelea sana Bali tizama and pata mwili Matatu.
Ktn tv

4 comments:

  1. Nuru ndo mara ya kwanza kusikie uke unarekebiswa baada ya uzazi .
    Bikira hurekebiswa . Madaktari Afrika kibokoo
    ataki kufanya renovation "
    Michael Jackson nadhani alipata white pigment.
    Dunian kuna mambo jamani.Tujikubali tulivyo Mie nina pigment za brawn sasa sijui ndo nijichube niwe mwetupe .
    Weusi hatujiamini kwa kila kitu

    ReplyDelete
  2. Uke unafanyiwa matengenezo mpenzi tena uko Beverly Hills unaulizwa unataka uke ufanane na wa umri gani Kama 12 16 18 yrs
    Chaguo ni lako..... Kuna mambo mengine uko uzeeni na sie tuta experience babu wee, why not. LOL. Sio mambo ya rangi wala hips
    AM....

    ReplyDelete
  3. Mbona wengi wanafanya yaani chochote siku hizi wanarekebisha utachotaka kama baba kim kawa mama kim k mwenzangu kuwa uyaone anon wa kwanza. .
    Comfort nini mbaya..mbona waguna?
    Am hahahhahahahah nakugawaaa

    ReplyDelete