hahahahaha!!!! 😂😂Hii kali, kweli akutukanae akuchagulii tusi....NimechekajeAM...
Hio comment juu ya mshauri anayevaa kaptula kila siku imenichekesha sana. Naona sasa tutasikia mengi.Ha ha, MissY.
Haaahha bongo ni shidaa. Huyo mvaa kaptura wala hajali sasa.
yani mwaka huu tutaona mengi ambayo tulikuwa hatuyajui hata nukta yake, Mungu tupe uzima hadi miaka mia kenda na kenda na kenda
hahahah nimecheka kwa herufi kubwa eti kaptura
hahahahaha!!!! 😂😂
ReplyDeleteHii kali, kweli akutukanae akuchagulii tusi....Nimechekaje
AM...
Hio comment juu ya mshauri anayevaa kaptula kila siku imenichekesha sana.
ReplyDeleteNaona sasa tutasikia mengi.
Ha ha, MissY.
Haaahha bongo ni shidaa. Huyo mvaa kaptura wala hajali sasa.
ReplyDeleteyani mwaka huu tutaona mengi ambayo tulikuwa hatuyajui hata nukta yake,
ReplyDeleteMungu tupe uzima hadi miaka mia kenda na kenda na kenda
hahahah nimecheka kwa herufi kubwa eti kaptura
ReplyDelete