Thursday, March 2, 2017

JOJO!!!





3 comments:

  1. Mbona huyu Jokate huwa hana bahati kwenye mapenziii..kila kukicha yeye huwa ndo anaachwaga kwenye mataaa na ukimwangalia ni mashalaa sana..uzuri, umbo, pesa iko sasa shida ni nini? Au sio mtamu na hajui majambozzz ya kukoleza wakati wakiwa 6 kwa 6 au ni baridi huko kwa bibi??? Shida ni nini bandugu ?? Ngachokaaaa

    ReplyDelete
  2. Usililie sura pesa lilia bahati.

    ReplyDelete
  3. hahhahahaha!!!!
    mdau umeniacha hoiiiii
    eti au kwa baridi au sio mtamu au hajui majambozzzz
    kahhh!!!!
    m nasemaga hawa wasaniii wetu ni fulu ujinga kwa kichwa
    hakupaswa hata kuongea llt lile, afu m naomba kama atapita kusoma hapa atafute mshauri wa mambo ya mahusiano ampe ushauri ili kujua nini anatakiwa afanye akiwa mwanaume

    ReplyDelete