I have been wanting and craving for these bags for a long time now but i think that I love the Gucci more than the Chloe one so the million dollar question is Which one should I get and if it is worth the money cause these babies dont Come cheap🙆🙆🙆.,
Swali ni hivi maana nimeyataka haya mapochi mwaka sasa and hizo ndio bei zake uwiii🙆🙆🙆 so ninunue pochi au ninunue tofali wapendwa.,Hjääääääääälp!




That Gucci velvet black bag is a.must have....mychoice
ReplyDeleteGucci zuri
ReplyDeleteWE DADA NUNUA TOFALI, DAIMA TOFALI AZITACHAKAA,ILA POCHI BAADA YA MUDA NI TAKATAKA HATA IWEJE UWEZI KUWA NA HIYO POCHI MILELE,ILAMLADI UNA SEHEMU YA KUJENGA BASI WEKEZA TOFALI MAI DEAR.FANYA MAAMUZI YA BUSARA,TOFALI UWEZI KUGAWA,HILO POCHI UTAKUJATOA SANDAKALAWE HAPA BAADA YA MIAKA AU MIEZI KADHAA!MI NAKUSHAURI TOFALI TOFALI…
ReplyDeleteNuru nitakuchapa.......achana na pochi....upesi kanunue tofali
ReplyDeleteNunua tofali mwaego mapoch yapo tu na yataendelea kuwepo
ReplyDeleteNunua tofari mama yangu lo!
ReplyDeleteGucci nzuri sana hizo bei sasa
ReplyDeleteGo for Gucci its worth it
ReplyDeleteMko sawa kikura sasa ntaona nani kazidi maana tuko 4 for gucci for for tofali.,legoo
ReplyDeleteNunua tofali Nuru wangu
ReplyDeleteMmmmmh kweli pochi nzuri sana ila tofali muhimu sana sana sana, kwa hiyo nunua tofali tu shougerrrr. Winnie
ReplyDelete