Thursday, March 9, 2017

Basi Sawa!!!


5 comments:

  1. Niliandika jana. Leo naasema hivi Wanawake tuko wajinga Sio wote @@
    Wapumbavuuu
    Wapuzi
    Hatujielewe
    Hatujitambui
    Ziroo tumezungusha kaa Bashite tena sie tumezungusha tokea la kwanza.
    Uombage ndani uanike insta
    Kisha urudi ki hivi .
    Siupuuzi huo.
    Tujifunze kuwa na uvuniliviona
    Subra
    Stara
    Heshima
    TUACHE kudeka matatizo mitandaoni
    Kwa na shoga
    Kwa ma jirani
    Tutateseka wenyewe
    Mfyuuuu we shamimu Tafuta somo up ya dada

    ReplyDelete
  2. Dah Ilibidi nisome tena halaf nitulize mshono pale sio wote hahahhahahahah,,

    ReplyDelete
  3. What a fool!!! anyway its her life yeye ndiye anae pata joto la jiwe vizuuuuri humo ndani mwao! sie akhaa tuna sip coffee. she will be back shortly hahah.

    ReplyDelete
  4. Heeeeee yamekuwa hayo? Si alishamgawa na mimi nikaanza process za kumchukua jamani, sasa imekuwaje tenaaaaaa? Mbona watu hawasimami katika maamuzi yao jamani? Mi wananiuzi bwana. Kidding. Winnie

    ReplyDelete
  5. hahahaha duh imebidi nicheke @Winnie ulishaanza process za kumchukua? Mapenzi ni upofu saa ingine nawashangaa wanavyooyaleta kwenye mtandao au ni kutafuta kiki?

    ReplyDelete