Wednesday, March 29, 2017

AHMED WEDS KHAIRA,THE RECEPTION!!!









 Oh my god the menu started off with a pizza,then samosa then the mishkaki then chicken and then ice-cream plus we got a gift and more food to take home dear lawd.,
Menu ilianza na Pizza,then sambusa halaf ikafuata mishkaki halaf kuku then tukapewa ice cream halaf tukapewa furushi na mule ndani kulikuwa na kuku,eggchop,katlesi,keki na vingine sikumbuki plus tukapewa na zawadi..,Znz nimegundua hawakupi menu kwa wakati mmoja yaani mkikaa kila saa msosi unakuja tu.,.,









THE GIFT.,








KHAIRA.,,






 KAINGIA NA WADOGO ZAKE.,





 AHMED WETU ALL SMILEY..,








 WITH MY SAFAH..,












 MR AND MRS.,,





 LA FAMILIA.,


 LA FAMILIA.,




SISTER/SISTER

 MAMA NA WANA.,
 LA FAMILIA.,


 HER HENNA ON HER LEGS WAS AMAZING.,,
WITH MY COUSIN.,



 I CAME TO SLAY.,,
 UKUMBI MZIMA NLIKUWA TOFAUTI.,




LAST DAY OF THE WEDDING ACTIVITIES AND THE NEXT DAY WE WENT BACK TO DAR!!!

4 comments:

  1. Nimeona mtu kama Muna sijui ni yeye huyo

    ReplyDelete
  2. Always ukivaa simple na kibongo utakuwa tofauti. Wenzetu lazima Wangae.

    Harus za zenj kwa makulat nawainulia kimono. Only drinks wengine hutoa moja tu. But siku hiz juice za Azam mezani karibu variety zote. Ushindwe wewe

    ReplyDelete
  3. Biharusi velii alipendezaaa.

    Wazanzibar rangi uwii. Sisi tuna design kwa kuangalia wanya ma, ndege naumwa nk. Nuru nyinyie mnaangalia nini???rangi za påslakan Yaani kaliiiiii
    Njano
    Orange
    Nyekundu.....
    Sintah nilikuwa na nae kwa mboni . Kapendeza uwiii kumbe umbea wa kulia unaharibu mvutoo

    ReplyDelete
  4. Kweli kabisa Bintinyota mahalaaaaat na mahanjumat thats Zenjiii.,
    Yes Comfort ni yy kavaa green..
    Hahahaahahahahhaha anon haujatulia yaa wanapenda rangi tena sana.,

    ReplyDelete