Ngoja nijibu kwa mtazamo wangu, ile ni scarf ya chadema, nionavyo Wema alienda na Scarf but as you know mpirani hakuna vyama so inaonekana alishtuliwa too late akaona afunge kiunoni, Maana ingeleta picha mbaya na mpira wa juzi kama mlivyoona ulinzi ulikuwa heavy.
Huo ni mtazamo wangu all in all anayajua Wema mwenyewe
Nilikuwa natazama kwa muda sielewi, fashion lakini ama nini 👀
ReplyDeleteAM...
AM manundu yanakuhusu
ReplyDeleteKwa mbali inaonekana kama skafu flani hivi ila Sina uhakika labda ni new fashion ��
ReplyDeleteNgoja nijibu kwa mtazamo wangu, ile ni scarf ya chadema, nionavyo Wema alienda na Scarf but as you know mpirani hakuna vyama so inaonekana alishtuliwa too late akaona afunge kiunoni, Maana ingeleta picha mbaya na mpira wa juzi kama mlivyoona ulinzi ulikuwa heavy.
ReplyDeleteHuo ni mtazamo wangu all in all anayajua Wema mwenyewe
Helen