Sunday, February 26, 2017

YALIYOJIRI!!!





Can we take a minute to discuss hivi Wema kavaa nini kiunoni?
Kavaa nini period,walikupurukusha my dear noooooooooo not raiti!

4 comments:

  1. Nilikuwa natazama kwa muda sielewi, fashion lakini ama nini 👀
    AM...

    ReplyDelete
  2. Kwa mbali inaonekana kama skafu flani hivi ila Sina uhakika labda ni new fashion ��

    ReplyDelete
  3. Ngoja nijibu kwa mtazamo wangu, ile ni scarf ya chadema, nionavyo Wema alienda na Scarf but as you know mpirani hakuna vyama so inaonekana alishtuliwa too late akaona afunge kiunoni, Maana ingeleta picha mbaya na mpira wa juzi kama mlivyoona ulinzi ulikuwa heavy.

    Huo ni mtazamo wangu all in all anayajua Wema mwenyewe

    Helen

    ReplyDelete