Saturday, February 25, 2017

WHOM TO BELIEVE IS TOTALLY UP TO YOU!!!

Mimi binafsi ningeomba uache kutumia jina la mtu mwenye Sifa zake nzuri halikustahili kabisa.Hakuna sehemu duniani wasiomjua Nyerere so that is all I ask of you.Kingine at times kama utakuBali kuwa mjinga hayo ni maamuzi yako lakin the Audio says it all so huyu kufanya a pressconference sijashtuka i was actually expecting it so kama nilivyosema inafika wakati Ukweli unajitenga na nyie kama Watanzania still mnakubali  kuwa wajinga au kuubeba uwongo na kuutetea.
Sometimes vitu havitokei kibahati  mbaya bali mda wake umefika.
OH siasa,siasa itabaki kuwa siasa tu.

12 comments:

  1. goodness huyu mama anapitia mengii mno na binti yake, Mungu azidi kumsimamia kwa yote

    ReplyDelete
  2. Yaani familia ya Nyerere waingilie kati asitumie jina lao kabisa kaniudhi mno anawavunjia heshima. Kesema mwenyewe yeye ni msanii how do we know kama na anachosema sasa ni usanii...CinTea

    ReplyDelete
  3. Hayo yote nimatatizo ya kupenda kuishi kiujanjaujanja hapa mjini lazima uwe muongomuongo.

    ReplyDelete
  4. My Cintea ulikuwa wapiiiiiiii?
    Abadilishe kwakweli atuachie baba wa Taifa wetu na heshma yake,,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nisamehe bure my dear nimekuwa busy kweli, halafu nimekununia hurudi unakula raha tyu bongo sie twafa na baridi aafu ile wazadi ikwapi tena vile tehe teh. Ila umeenda bongo wakati mtamu unatupasha habari kama reuters!!

      Delete
  5. Mzazi unashirikiana na kuwadi wa mwanao...balaa!mwamini

    ReplyDelete
  6. Tobaaa!!!
    Nilihisi huyu binti maybe alitongozwa why iwe big dill that much?

    Hehehe asante mitandao.
    Aibu kwa kiongozi!!! Duh!!
    Ndo tutaenda kwa visasi?

    ReplyDelete
  7. Hiii serikali kiboko.
    Aibuuuuu

    Lol!!! Madereva hatari

    ReplyDelete
  8. Nimempenda mama kusimamia nyota ya mwanaye itashushwa na Mungu.
    Wazazi wanatakiwa watusimamie wasife moyo!!!

    ReplyDelete
  9. Siasa mchezo mchafu lol!!!!
    This is why I hate politics.

    Maana simalizi drama hii kuisikiliza

    ReplyDelete
  10. Nuru simalizi.
    Pesa mbaya.
    Siasa mbaya.
    Yaani ndo kujisafisha huko?

    Duh!!!
    Kwa hiyo unamhusisha Mungu ktk unafiki. Why umrishe mja kwa kumshirikisha Mungu!!!
    Mxxxxxxx

    ReplyDelete
  11. Hehehehe so is true ulipita kwa watu?
    Ushajichanganya. Lol

    ReplyDelete