Steve anasema kurekodiwa ni uuaji. Kwahiyo anakiri hao viongozi aliowataja ni wauaji? Sidhani hii press conference imemsaidia. Kajichimbia shimo kubwa zaidi.
Nyerere kamaanisha kuwa kitendo cha yeye kurekodiwa na kusambazwa kwa hiyo Audio ndio mauaji when it comes to his career yake ambayo kaijenga kwa mda mrefu...
Steve anasema kurekodiwa ni uuaji. Kwahiyo anakiri hao viongozi aliowataja ni wauaji? Sidhani hii press conference imemsaidia. Kajichimbia shimo kubwa zaidi.
ReplyDeleteNyerere kamaanisha kuwa kitendo cha yeye kurekodiwa na kusambazwa kwa hiyo Audio ndio mauaji when it comes to his career yake ambayo kaijenga kwa mda mrefu...
ReplyDelete