Mkapige kazi msije na dram ya kurusha picha mko kimubashara .Heshima ni nyumba zenu .Bi harusi Mungu ampe moyo wa ziada . Akiwa na moyo wangu atacganganyikiwa kabla hajazaa. Mie dada ningefata aendako .
Hii sasa ni too much. Huyu Nuhu si kaoa juzi tu? Awe macho!!!
Mkapige kazi msije na dram ya kurusha picha mko kimubashara .Heshima ni nyumba zenu .
ReplyDeleteBi harusi Mungu ampe moyo wa ziada . Akiwa na moyo wangu atacganganyikiwa kabla hajazaa. Mie dada ningefata aendako .
Hii sasa ni too much. Huyu Nuhu si kaoa juzi tu? Awe macho!!!
ReplyDelete