Wolper anachekaa na zari ila zari kama hayupo nae yuko kivingine. Kuna maisha kama hujayapitia yanataka muda kuyakubali . Harmoniz nae anaongea kaa wolper shurti kupamba herufi. Utadhani mzungu anajifunza kiswahili Khadija kanena dada wengine hapo wako na wakewenzao
Wolper anachekaa na zari ila zari kama hayupo nae yuko kivI ngine. Kuna maisha kama hujayapitia yana kuwa kuyakubali .
ReplyDeleteAkunyagaye ndo anakula na wewe
Wolper anachekaa na zari ila zari kama hayupo nae yuko kivingine. Kuna maisha kama hujayapitia yanataka muda kuyakubali .
ReplyDeleteHarmoniz nae anaongea kaa wolper shurti kupamba herufi. Utadhani
mzungu anajifunza kiswahili
Khadija kanena dada wengine hapo wako na wakewenzao
Arobaini yakidini Darleen haiko hivyo usidanganye.
ReplyDeleteDuaa ni jambo jema, na hats masikini hufanya!! Hakuna MTU asiyefanya Hakika ya Mtoto.
MashaAllah Mungu amkuze baby Nillan