But he is not the only one to blame kwani wengi wenu pia mkitumiwa mnaforward tu!
Mengine mpaka yakukute ndio utaelewa.
A young kid halafu mwanaume ila Sorry to say this ila Wanaume wa Kitanzania ni wambea mnooo mazakitumbua they are too muchiiiiiiii mfano hai Soudy Brown a.k.a shilawaduuuuu, ,
Millardayo.com
Tena wambea kuliko wanawake.Soudy Brown nilimchukia mwanzoni japo mie sijulikani . Ila nilifatilia Sanaa nikagundua. Soudy anaumbea wa kike ule wa kusikia kisha unausogeza. Na anachokisema kinakuwaga cha kweli ila kibinadamu kazidisha angekuwepo mtt wa kike asingekuwepo kwa kipigo..
ReplyDeleteNdo kazi kaichagua
Kipindi chake nakifananisha na Cha Jery Jery cha America ila kilishafungiwa.
Mkewe atapewa shida.
Hahahhahahahah your first sentenser,,,,,Deadπππ
ReplyDeleteMmbea ni mbea tu hakuna umbea wa kike au kiume ni tabia tyuuu,,
Wanaume huku kwetu tunawazawadia khanga, ubuyu na lipstick. Ni shidaa.
ReplyDeleteIla hii tangaza tangaza kaanzisha mkuu wetu WA mkoa. Kwa tuhuma tu!!! Hivyo kijana kaendeleza mchezo but kasahau sheria kwa mwananchi WA kawaida ni rahisi sana kunyofoanyofoa.
Litakuwa funzo na uoga hata WA kweli kutajwa sababu ya kuogopa kufungwa.
Duh!! But VIP walidhalilishwa siku za nyuma?
ReplyDeleteI said it.
Cyber crime is only for us not them