Wednesday, February 1, 2017

ADAM THAT!S A GROWN MAN TALK,NIMEKUPENDA BURE!!

ADAM ALMAARUF KAMA CARO BOY AMEWEKA WAZI KUWA YEYE NA SHILOLE WAMEACHANA,,
NOW THIS IS A MAN,,
KAONGEA VIZURI NA KWA BUSARA,,
SIO MIJIANAUME MENGINE KAMA MABINTI ACHANA NAE USKIE MZIKI WAKE,,
ALL IN ALL I HOPE YOU WORK THINGS OUT BETWEEN YOU ADAM AND SHILOLE!

Millardayo.com

9 comments:

  1. Ngoja niwachekeshe japo wengine watasema napenda umbea, wakati nasikiliza hii video nilikuwa na sahani yangu ya chakula nakula
    basi baada ya matangazo Adam alivyo anza kuongea nilisimamisha kutafuna nilihisi meno yananipigia kelele masikioni si sikii vizuri..
    hahahahahah😂😂😂😂 anyway kijana bado anampenda Shilole navyohisi mimi....
    AM...

    ReplyDelete

  2. AM wewe ni kiboko hahahhaahah jamani umeniongezea siku za kuishi,ahsante

    ReplyDelete
  3. eti meno yanakupigia kelele kweli ulitaka kusikia kila neno no kumiss point nimechekaa balaaaa ------ am butterfly

    ReplyDelete
  4. ENDELEA KULA MY DEAR
    Ni kweli bado anamoenda.
    SIFA zA SHISHI

    Shishi Anataka mwanaume atakayemwendesha kama mtt.
    Anataka afanye atakavyo mwanaume awe kimya.
    Anaenda pombe na alileta ......
    Ana mapenzi ya kikurya
    Na anatunzaga wanaume
    Mkorofi .kelele hajui wapi på kugombana na bwana
    Ushamba nao anao
    .
    Sasa akimpata mwanaume asojua jutafuta hela anayepa nda kutuzwa na asiye jua kasoro za mwaname . Wataishi milele

    ReplyDelete
  5. lol!! Tuko hapa kufurahi, wasema life is too short!!
    AM...

    ReplyDelete
  6. Ndio mapenzi yalivyo Adam na pole kwa mahusiano yaliyodumu kwa muda mfupi sana!

    ReplyDelete
  7. Mdau hapo juu, Umemaliza kila siku nasema huyu mshamba sana, ni kweli mapenzi ya kikurya na ushamba anao tena wa hali ya juu.
    AM...

    ReplyDelete