Tanzania ukitizama bado ni nchi ambayo kununua kiwanja unaweza kupata kwa bei nzuri kama huna makuu.
Kingine ni kwamba mji unakuwa na kutanuka kila kukicha so usijidanganye au kudanganywa kuwa ah usinunue kule ni mbali,big misstake.
Kama hela unayo Nunua ardhi..
Kiwanja huwa hakishuki bali hupanda.
Hata kama huna hela ya kujenga leo hii dont worry nunua ili siku ukiwa na uwezo wa kujenga utajenga.
Watu wasioishi bila njaa ni wenye nyumba na leo hii wamekodisha watu huku wao wakila matunda ya uwekezaji wao.
Nakushauri Nunua kwa leo au kesho kwani sitaki useme kuwa Nuru The Light hakukupa huo ushauri,kwa leo nimemaliza.com!!!
Asante Nuru
ReplyDeleteKweli kabisa bongo sio ardhi ipo kwa price nzuri sana haijalishi umbali wa eneo mji unakuwa kila siku miundombinu inazidi kusogezwa karibu zaidi as u said nuru usiwe na makuu bhassssss
ReplyDeleteUmeongea point dear Ardhi haishuki thamani hata siku moja!
ReplyDeleteTrue and very true hun
ReplyDelete😙😙😙😙😙😋😋,Tuko Pamojah!
ReplyDeleteBe blessed nuru!mwamini
ReplyDelete