Sunday, January 15, 2017

OH REALLY!!!!




5 comments:

  1. Hapa sielewi kabisa.. Sijui mi kilaza!!!!๐Ÿค”
    AM...

    ReplyDelete
  2. Tatizo lugha mgongano @ AM
    Halafu, ukiwa huko straight; always kauli zako lazima ziwafanye watu wajione vilaza, hahahahaha kumbe makosa yako ktk story writer

    Story kama ya Hadith za watoto

    Tulipofika pale, ngoja niwaambie sasa yule thungura alifanya nini, tukaendaaaaaaaaaaaaa!!!!!

    Lol!! @AM ulikodoa kama Mimi kusubiri kuambiwa the truth kwikwikwi

    ReplyDelete
  3. BI mkubwa kaoge tu hata Sanya wapo,bila hovyo UTAMALIZA wanaume utamu na ma chunguza ni ule ule .
    Kwani wanaumempata wote baba mmoja.
    Na wewe huna kaba rohoni.

    Wanaume wenyewe unawaongo magazeti ni wakigoma ndo unafuta.
    Da una tutie aibu wachanga wenziรถ
    Jack huna wazazi wewe???

    ReplyDelete
  4. pole yake, atulie amwombe Mungu wake ampe aliye wake,
    kukurupuka bila hata ya kufikiri n mby
    by suzana

    ReplyDelete
  5. Umemaliza sweetheart @ Bintinyota ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
    AM...

    ReplyDelete