Monday, November 21, 2016

WOLPER!S HOUSE OF FASHION!!!





8 comments:

  1. Hongera sana wolper. Ila sasa ulivyoenda huku china na yule shoga ago mbona hukumshauri na yeye aje na mzigo wa biashara jamani? ushoga mwingine sio.

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUNA VINGI VYA KUSIMAMA SIO MAISHA YA WENGINE WE GRACE HATA PAKUPANGA SANGINE HUNA .Hapo ndo baadh ya weusi na watanzania mnachelewa

      Huyo shoga ake;
      Humlishi
      Humlishi
      Humping hela ya pedi
      Hakuhusu zaid ya kusoma mitandaoni
      Huna udugu nae
      Huna hata na saba nae
      UNAACHAJE KUANGALIA MAISHA YAKO NA WANAOTUHUSU UK AANGALIE YA HUYO SHOGA .
      YAANI TZ NA WAAFRIKA WANAHITAJI ELIMU YA ZIADÃ… ILI WAWEXE KUJITEGEMEA SIO KUTEMBEA MTU.
      UNAMTEGEMEA MTU MPK UNATAKA MAISHA YAKE YA WE UTAKAVYO.

      TUSIMAME KUPIGANA WATOTO YATIMA
      WATOTO WANAOCHEZEA
      WANAOANZA KUTESWA WAKIWA WADOGO
      TUPI GANI WATOTO WANAOJIUZA KWA KIKIDHI MAISHA
      TUPI GANI ELIMU KWA SISI WANAWAKE ILI TUACHANE UMBEA.
      TUPI GANI MATES KWA WANAWAKE

      Delete
    2. In aonekana Grace huna maisha kabisa. Bado unafatili ya watu .Da uko nyuma mamy

      Delete
  2. Hongera sana wolper, ila hiyo mifuko umekosea kidogo, "Everyday new arrive." Sijui ulitaka kusema nini hapa.

    ReplyDelete
  3. Thanks Anony hapo juu kwa kusema sina maisha. na kweli sina coz nahitaji zaidi ya haya niliyonayo sijaridhika nayo ndio maana kila kukicha naparangana kutafuta zaidi ya hichi nilichopewa na Mungu hongera wewe uliyeridhika na uliyonayo. HAHAAAAA acha tu nikucheke eti hata pa kupanga sina uwiiii tuongeeni tu mitandaoni tusitake kujuana zaidi. Sijui mlielewaje hiyo post ila kwa mimi napenda urafiki wa kusaidiana kimawazo na kila kitu kilichoko ndani ya uwezo wa mtu. Tatizo sijui ndio utimu au ubinafsi wa mawazo na yaelekea hata marafiki zenu mkiwaona wanaelekea pabaya mnakaa kimya tu bila hata kuwashauri sasa huyo ni urafiki au unafiki? hampendi Wema asemwe kwa chochote, huo ndio ukweli hata povu liwatoke. Kwanza anony hapo juu jifunze kuandika kiswahili kwanza ndio uje kuandika upupu wako huku kama hakipandi andika tu kingereza, sio kutokwa poooooovu uandishi wenyewe majanga. mxeeew!!

    ReplyDelete
  4. Grace you are very right, na uliongea point nzuri in a very positive way. Issue ni kwamba watu hawampendi wema ndio maana siku zote wanagombana na mtu anayemwambia wema ukweli. Yaani hawa fans wake wangekuwa wanampenda wangeanzisha kampeni ya kumpa ukweli na sio kumbaby sit while she is getting worse kila siku.

    ReplyDelete
  5. We Grace unajuaje mazungumzo kati ya huyo Wolper na Wema? Unajuaje labda Wolper alimshauri na Wema akakataa? Mbona unamlaumu dada wa watu (Wolper) bila hata kujua ukweli wa haya unayomshutumu? ACHENI UMBEA JAMANI.

    ReplyDelete
  6. Hongera na kila la heri Wolper

    ReplyDelete